New Job Vaccanciews: Ministry of Water
Type Here to Get Search Results !

New Job Vaccanciews: Ministry of Water

0

 


POSTFUNDI SANIFU MAABARA II (WATER LABORATORY TECHNICIAN II) – 3 POST
POST CATEGORY(S)WATER, MINING AND NATURAL RESOURCES
EMPLOYERMinistry of Water and Irrigation
APPLICATION TIMELINE:2022-03-25 2022-04-07
JOB SUMMARYNA
DUTIES AND RESPONSIBILITIESi.Uchukuaji wa sampuli za maji na udongo kwa ajili ya upimaji;

ii.Kufanya matengenezo ya vifaa vya maabara ya kawaida na ya dharula yanapohitajika;

iii.Kufanya upimaji wa maji na udongo wa maeneo ya miradi na kuaandaa maelekezo ya matibabu yanayohitajika;

iv.Ukusanyaji wa takwimu za hali ya maji na udongo zinazohitajika kwenye maeneo ya miradi;

v.Kufanya uchunguzi wa sampuli za maji safi na maji taka kwa kutumia vifaa maalum (specialize equipment) kama vile Atomic Absorption Spectrophotometer, Kjeldah na mashine nyinginezo;

vi.Kubaini viwango vya kiasi cha madawa yanayohitajika kwa kutibu na kusafisha maji (dosage);

vii.Kufanya uchunguzi wa madawa ya kutibu na kusafisha maji; na

viii.Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi.

QUALIFICATION AND EXPERIENCEKuajiriwa wenye elimu ya sekondari na cheti cha ufundi FTC au Stashahada ya Ufundi katika fani za Maabara za Maji kutoka katika chuo kinachtambuliwa na Serikali. Wawe na ujuzi wa kutumia kompyuta.
REMUNERATIONTGS C

BONYEZA HAPA KUTUMA MAOMBI

Post a Comment

0 Comments